Saturday, April 26, 2014

Wachezaji wa timu ya Barcelona Kutoa salamu za Heshima kwa mwili wa Kocha wao aliyefariki dunia siku ya ijumaa






Wachezaji wa timu ya Barcelona leo wametembelea sehemu ambayo mwili wa Kocha wao wa zamani Tito Vilanova ulipohifadhiwa.

 Kocha huyo aliyefariki siku ya Ijumaa akiwa na umri wa miaka 45, alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Cancer ya koo kwa muda mrefu.