TASWIRA MPYA
Thursday, March 31, 2016
Ajali: Barabara Yaporomoka na Kuua watu 10
Watu kumi wamekufa na wengine ambao idadi yao bado haijajulika wamejeruhiwa baada ya moja kati ya barabara za ghorofa zilizopo katika mji wa CALCUTTA nchini India kuporomoka.
Chanzo ITV
MATUKIO ZAIDI YA KUSISIMUA
CLICK HAPA>>
‹
›
Home
View web version