TASWIRA MPYA
Thursday, April 21, 2016
Gari Lagonga Treni na Kusababisha Mlipuko Mkubwa
Watu 3 wamenusurika kufa baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Fuso kuligonga Treni ya mizigo wilayani Manyoni mkoani Singida na kusabisha moto mkubwa kuwaka na kuharibu miundo mbinu ya reli.
MATUKIO ZAIDI YA KUSISIMUA
BOFYA HAPA>>
‹
›
Home
View web version