Muonekano wa nje wa via vya uzazi vya mwanamke 
Kama ilivyokuwa kwa 
baadhi ya wanawake kuwasema na kuwacheka wanaume wenye “vibamia” hali 
kadhalika na wao huwa wanacheka na kusema wanawake wenye “Uke mpana/mkubwa wakidai kuwa hawafurahii kwa vile haibani na kupoteza ule 
msuguano ambao ndio chanzo cha raha na hatimae utamu.
 Natambua 
kuwa ni jambo linalotia aibu kama ilivyokua kwenye suala zima la ngono 
lakini hili ni tatizo ambalo linasumbua wanawake wengi. Hili tatizo mara
 nyingi hutokea au kujitokeza mara baada ya kuzaa watoto 2 na kuendelea.
 Hakuna sababu ya wewe kuona aibu ikiwa una tatizo hili hasa pale 
unapokwenda kumuona daktari wako kwani wanatambua kabisa nini huwa 
kinatokea baada ya kuzaa.
 Ukiwa mtu wa kufanya mazoezi au ulikuwa
 mtu kwa kufanya mazoezi kabla hujapata mtoto huwa rahisi kurudisha 
u-tight wa misuli ya uke wako kwa kufanya mazoezi ya kukaza misuli ya 
tumbo pamoja na yale maalumu kabisa yanayoitwa Kegel.
 Zoezi hili 
limepewa jina la Kegel baada ya Dr.Arnold Kegel ambae ni “Obstetrician” 
alietambulisha zoezi hili kama sehemu ya kuwasaidia akina mama 
wajawazito kuboresha na kukaza misuli ya uke ambao huwasababishia 
kuvunjwa kwa mkono pale wanapocheka, kohoa, piga chafya n.k. mara baada 
ya kujifungua.
 Baada ya miaka michache imegundulika kuwa zoezi 
hilo lijulikanalo kama Kegel husaidia kurudisha “mnato” wa uke pia na 
wengi hufanikiwa kurudisha ule “u-tight” wa uke hali inayowafanya 
wajiamini wanapofanya mapenzi na vilevile kuwafanya wapenzi wao na wao 
wenyewe kufurahia kama ilivyokuwa awali (kabla ya kuzaa).
 Misuli inayofanyiwa zoezi hili ni ile iliyozunguuka uke, njia ya mkojo na sehemu ya haja kubwa(mkundu).
 Unajua  unapotoa haja kubwa ile ngumu au hata ya kawaida huwa 
huliachii mpaka liwe reefu kama na mara nyingi unakata kimba hilo, 
ukilikata lile "javi " sehemu yako ya nyuma (mkundu) inakuwa kama vile 
ina "hema" au "inamwenyua-mwenyua" samba-mba na ile ya mbele....sasa 
unatakiwa kufanya hivyo mara nyingi uwezavyo ukiwa mahali popote na sio 
wakati unakunya. Lakini kumbuka ku-hold na kuachia....sio unafanya 
haraka-haraka ili uwahi kumaliza.
 Hali hiyo ya mkundu na Uke 
"kuhema" pia hujitokeza wakati ukisikilizia utamu wa kufanya mapenzi 
mara tu baada ya uume unapotolewa haraka ukeni pale unapofika.....hasa 
ikiwa Mpenzi anataka kumaliza lakini kwa nje.
 Vilevile unaweza 
ukalifanya zoezi hilo kila unapokwenda kukojoa, jaribu kuzuia mkojo 
usitoke kwa kutumia misuli yako ya uke kwa muda wa dakika 
fulani....kwamba uzuie kisha hesabu 1....2....3....4...5...6 kisha 
uachie na rudia tena mpaka mkojo wote uishe.
 Zoezi hili 
halifanywi na wenye uke mpana na wenye maji-maji mengi tu bali na 
mwanamke yeyote ili kuboresha maisha yake ya kingono na mpenzi wake.
 Ikiwa unafanya haya mazoezi mara kwa mara yatakusaidia kumpatia mpenzi 
wako kilele cha maana kwa kubana-vuta na kukamua uume wake kila unapo 
ingia deep inside na vile vile kunaendeleza mnato wako na ikiwa wewe ni 
kati ya wale wanawake wenye maji-maji mengi basi unaweza kutumia misuli 
yako hiyo kuubana uume na kumpatia utamu na raha mpenzi wako ambayo 
hajawahi kuipata toka umaji-maji ujitokeze.
 Nitajuaje kama nimepatia?
 Ni rahisi, ingiza kidole kisha fanya Kegel na utahisi kidole chako kikibanwa na kuachiwa.
 Fanya zoezi hili kila siku, mahali popote na utapata matokea(utaona 
mabadiliko) ndani ya miezi miwili hadi minne kwa wale wenye uke mpana.
 Ikiwa wewe uke wako uko sawa (sio mpana)na unafanya Kegel ili kuongeza 
raha ya kufanya mapenzi basi itakuchukua wiki moja. Hakikisha unafanya 
zoezi hili kila wakati unapofanya mapenzi na hakikisha anapokaribia 
mbane-mwachie na kamua "cream" yote.
 Pia Kegel inaweza ikafanywa 
kwa kulala chali, weka mikono huku nahuku kisha ipumzishe kwenye sakafu 
alafu kunja miguu yako sehemu ya magoti na vikanyagio viwe sambamba 
kwenye sakafu kisha inua kiwili-wili chako kwenda juu baki hapo juu 
(huku ukiwa umebana msuli ya uke kama vile unazuia mkojo usitoke) kwa 
muda kisha rudi chini na rudia tena kadiri uwezavyo.
