Chanzo: Mtanzia HABARI NA MATUKIO ZAIDI YENYE MSSMUKO BOFYA HAPA>> …
BREAKING NEWS!! Chama Cha Mapinduzi CCM Chatangaza Rasmi Wagombea Watatu. KUWAONA BOFYA HAPA>>
Wafuatao ni Watatu ambao wametangazwa kuwania nafasi ya Urahis kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi ambao ni; 1) Magufuli, 2) Asharose Migiro na 3) Amina S Aly KUENDELEA KUPATA HABARI ZETU ZAIDI BOFYA HAPA=> …

Basi Lingine la Abiria Lagonga treni na kusababisha Vifo na Majeruhi. MKASA MZIMA BOFYA HAPA>>
Watu watano wamepoteza maisha huku wengine 24 wakijeruhiwa baada ya basi la abiria kuligonga Treni lililokuwa linatoka Morogoro - Dodoma jana asubuhi katika eneo la Kibaoni, wilayani Kilosa mkoani morogoro. Basi lililohusika katika ajali hiyo ni ain…

Petr Cech Asajiliwa Arsenal Kwa Pauni 11. HABARI KAMILI BOFYA HAPA>>
Petr Cech akionesha jezi ya Arsenal baada ya uhamisho wa Pauni na Mshahara wake unatajwa kuwa ni Pauni 100,000 kwa Wiki. Akiwa Katika Mapozi Akizungumza na Waandishi wa habari KUPITIA HABARI ZAIDI ZA KISOKA BOFYA HAPA>> …

Kingunge Aipasha Serikali Makavu Live. UTAMU WOTE BOFYA HAPA>>
Wakati Chama cha mapinduzi kikielekea katika hatua ya kuteua mgombea Urais wa chama hicho, Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru, amefyatuka na kusema Urais ni hatima ya Watanzania hivyo lisifanywe mchezo kuwa mtu yeyote anaweza kuuchez…

Wasafirisha Dwa za Kulevya kwa Kutumia Taulo.
Wakati Tanzania ikianza kutumia sheria mpya kwa washukiwa wa dawa za kulevya inayohukumu Mshtakiwa kifungo cha maisha jela, wafanyabiashara wa madawa hayo wamebuni mbinu mpya ya kusafirisha dawa hizo kwa kutumia taulo lililololowekwa kwenye dawa hiz…

Ugumu Wa Lowasa Kupata Urais ni Huu Hapa.
Vuguvugu la Watangaza nia ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuchukua na kuwania nafasi ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu linazidi kuwa kubwa kila kukicha. N…

Mtu mmoja Achinjwa na Mwingine Kujeruhiwa vibaya. MKASA MZIMA CLICK HAPA>>
Mtu mmoja amechinjwa na mwengine akajeruhiwa vibaya baada ya shambulizi la kiislamu katika mji wa Lyon Ufaransa. Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE Mic…

Zaidi ya Watu 40 wameuawa Hotelini. MKASA MZIMA BOFYA HAPA
Watu wenye silaha wameshambulia hoteli moja ya kitalii iliyoko kwenye pwani ya Tunisia na kuwauwa watu 37. Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftI…
