Jiunge nasi Facebook ili Uwe wa kwanza kupata Matukio Bofya Hapa>>
________________________________________________________________________________________
Mwanamke anaswa akimtumbukiza mtoto wake kisimani. Hali ya sintofahamu imeibuka katika mtaa wa Azimio, kata ya Kihonda katika manispaa ya Morogoro, baada ya mwanamke mmoja, Veronica Madebe, kukutwa akitaka kumtumbukiza mwanaye wa kiume ambaye ni pacha, mwenye umri wa kati ya miaka mitano hadi saba kwenye kisima cha maji, kutokana na... Soma zaidi>>
________________________________________________________________________________________
Amnyonga Mtoto wa Mwaka mmoja baada ya kugombana na mke wake. Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja
mkazi wa kijiji cha Kindo wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro amefariki dunia
baada ya kunyongwa na baba yake wa kambo kufuatia migogoro ya kifamilia kati
yake na mkewe. Soma zaidi>>
________________________________________________________________________________________
Awaua Mkwewake pamoja na mwanawe kwa kuwachoma kwa kisu. MKAZI
wa kitongoji cha Ng’anandi kijiji cha Mpinga Kata ya Kigwe wilayani Bahi,
Jumanne Ichirile (23) ameua mama mkwe wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka
miwili kwa kuwachoma visu.
Soma zaidi>>
________________________________________________________________________________________

________________________________________________________________________________________
Wafugaji 9 Wauliwa katika mapigano na wakulima. Kamanda Matei amesema maiti zilizopztikana zimeokotwa shambani na zingine zimetupwa msituni. Soma zaidi hapa>>
________________________________________________________________________________________
Mwanamke Akatwakatwa Mapanga na Shemeji yake.Mwanamke
mmoja mkazi wa kijiji cha Olkokola Wilayani Arumeru Mkoani Arusha amefanyiwa
ukatili wa kutisha kwa kukatwakatwa na Panga kichwani na kuondolewa kiganja cha
Mkono, sikio na sehemu nyingine za mwili wake, Soma Zaidi hapa>>
________________________________________________________________________________________
Mtu mmoja aliyetambuliwa
kwa jina la Henry Ambakisye (60) mkazi wa kijiji cha Kandete amekutwa
ameuawa kisha mwili wake kutupwa mtoni. Soama zaidi>>