Jiunge nasi Facebook  ili Uwe wa kwanza kupata Matukio Bofya Hapa>>

___________________________________________________________________________________

Mwakyembe kuwatimua Kati wafanyakazi TRL.
“Nina ushaidi wa video jinsi baadhi yao walivyohusika na jambo hili, nimechoka kupiga siasa na wakishakamatwa nataka uchunguzi wa mali zao uanze mara moja na ikiwezekana zipigwe mnada,” alisema. Soma zaidi hapa>>

________________________________________________________________________________________

Mtoto wa miaka 2 kuua mama yake.

________________________________________________________________________________________

Mwanafunzi Afa kwa Kunyongwa
Mama wa marehemu, Abida Zuberi alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi usiku. Alisema siku hiyo mtoto huyo alikwenda kulala kwenye nyumba ya dada yake ambaye amelazwa hospitali. Soma zaidi>> 
 ________________________________________________________________________________________

Kitoto cha miaka minne Chatekwa Mwanza.
Kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi mkoani mwanza Valentino Mlowola ,  ameitaarifu BBC kuwa leo ni siku ya tatu na polisi bado ina matumaini ya kumpata akiwa hai motto huyo. Soma zaidi>> 
________________________________________________________________________________________
Mwanafunzi wa shule ya msingi Anyongwa Handeni
Kamanda wa polisi mkoani Tanga naibu kamishna wa jeshi la polisi Frasser Kashai amethibitisha kutokea kwa tukio na amewaomba wananchi wa wilaya ya Handeni na mkoa wa Tanga kwa ujumla kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi ili kuhakikisha kuwa vitendo hivyo vinakomeshwa.  Soma zaidi>>

________________________________________________________________________________________

Kijana apigwa Risasi akiingia Club

Polisi walifika eneo la tukio na kukuta kijana huyo ameanguka chini na damu nyingi zikiwa zimemtoka sehemu za shingoni na kifuani huku akiwa amewekewa nguo shingoni ili damu isiendelee kutoka ambapo ilisemekana ilikuwa ikitoka nyingi sana. Soma zaidi>>

_______________________________________________________________________________________

Kelele za Harusi zaua mtu Dar
Alisema baada ya kutoka nje alikuta damu na mwili wa kijana Muhasi na kuambiwa kuwa jirani yao Lucas Muhabi ndiyo amemuua kwa kumpiga risasi na muda siyo mrefu polisi walifika na kuuchukua mwili kuupeleka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Soma zaidi>>

________________________________________________________________________________________

Houseboy' Jela Maisha kwa kubaka mtoto.
Kabla ya kutolewa kwa hukumu hiyo, Mahakama ilimpa nafasi mshtakiwa kujitetea.Katika utetezi wake, alisema anaumwa vidonda vya tumbo, hivyo anaiomba Mahakama imhurumie kwa kupunguzie adhabu.  Soma zaidi hapa>>

________________________________________________________________________________________

Tibaijuka Asema "Bwana ametoa, Bwana ametwaa"

“Kuna suala la escrow, zamani kulikuwa na aspro ambayo iliksa suala hili limefikia tamati hamkunichagua ili nikawe waziri, ni sawa na kusema Bwana alitoa na Bwana ametwaa,” alisema Profesa Tibaijuka. Soma zaidi>>

________________________________________________________________________________________

Hatimaye Fisadi Mwingine wa Escrow Ang'olewaadarakani  
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Balozi Sefue mjini Dar es Salaam imesema kuwa amechukua hatua hiyo “Kwa mujibu wa Kifungu 4(3) (d) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Na. 8 ya mwaka 2002 (kama ilivyorekebishwa)”ambapo “Katibu Mkuu Kiongozi ndiye Mamlaka ya Nidhamu kwa Watumishi wa Umma wanaoteuliwa na Rais, wakiwemo Makatibu Wakuu.  Soma zaidi>>

________________________________________________________________________________________

Mwanamke Amiminiwa Risasi hadharani  
Watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliokuwa wanatumia usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda, wamemuua kwa kumpiga risasi dada mmoja ambaye jina lake halijafahamika. Soma zaidi>>

________________________________________________________________________________________

Ajali mbaya yaua Tisa wilayani Moza  
Marehemu waliotambulika kwa majina ni wanne ambao ni 1. Thomas Simfukwe (35) 2. Exavery Mumbisa (34) 3. Amina Maiko (30) 4. Neema Almasi 5. Hebeli Mkilimi 6. Rose Hezron Halele na 7. aliyefahamika kwa jina moja Januari.Soma zaidi>>

________________________________________________________________________________________

Mwanafunzi wa Chuo auawa kwa Sumu  
Denti huyo alikuwa kama anafahamu siku ya kifo chake ambapo siku moja kabla alimshukuru Mungu kupitia ukurasa wake wa Facebook kwa yote aliyomfanyia kisha kutuma picha mbalimbali akiwa katika pozi tofauti.Soma hapa>>

________________________________________________________________________________________


Raisi Kumfukuza kazi Tibaijuka   
Hii imekuja siku chache baada ya Tibaijuka kusema kuwa rais Kikwete hawezi kumuwajibisha. Soma zaidi>>




________________________________________________________________________________________

Mshtakiwa wa EPA, aachiwa huru na Mahakama
Akitoa  hukumu hiyo  jana Kiongozi wa  jopo la Mahakimu watatu wanaoisikiliza kesi hiyo, Jaji wa Mahakama Kuu, Edson Mkasimongwa alisema baada ya kupitia ushahidi uliotolewa na Endelea>>

________________________________________________________________________________________

Mganga kuwatia moto wateja wake.
Aziza Hassan mmoja wa wnaafamilia walionusurika katika mkasa huo alisema mama yake pamoja na watoto wake wawili walipelekwa kwa mganga wa kienyeji na baba yao wa kufikia kwa ajili ya kufanyiwa tambiko. Soma zaidi

_______________________________________________________________________________________


Wananchi wachezea maisha ya kibaka 
Mashuhuda wa tukio hili walisema kijana huyo na wenzake waliiba pikipiki mbali na hapo Mwembechai ila katika purukushani na wamiliki wa chombo kile, kijana yule alijikuta akianguka kutoka kwenye pikipiki, Endelea>>

________________________________________________________________________________________


Mamia ya watu wazama Ziwa Victoria
Miili ya watu wapatao 129 imepatikana kutoka Ziwa Tanganyika baada ya feri kupinduka na kuzama mapema Ijumaa. Soama zaidi>>

_______________________________________________________________________________________

Mtu mmoja akutwa amejinyonga Kwenye muembe. 
Hali ya sintofahamu iliendelea kutanda katika eneo hilo huku kila alieweza kufika katika eneo hilo la tukio akiwa na mshangao wa kipi kilichomsibu mtu huyo mpaka kufikwa na mauti ya aina hiyo. Soma zaidi>>

________________________________________________________________________________________

Akiri Kuwaua watu 42 kwa raha zake  
Sailson das Gracas amekiri kufanya mauaji hayo kwa sababu anasema alipenda kufanya hivyo.Soma zaidi>>

________________________________________________________________________________________

Walaji wa Mboga za majani jijini Dar Hatarini:  Wakazi wa jiji la Dar es salaam wapo katika hatari ya kupatwa na magonjwa makubwa kamasaratani, utasa, kupoteza uwezo wa kuona,kuharibu ubongo,maini na figo kutokana na matumizi ya mboga za majani zinazolimwa katika mabonde ya jiji hilo. Soma zaidi>>

________________________________________________________________________________________

Ajinyonga kupinga Kuoa Mwanamke asiyemtaka.  Mkazi wa Kijiji cha Duga Horohoro Tanga, Mbito Dilima amejiua kwa kujinyoga akitumia chandarua na kuacha ujumbe kuwa, sababu ya uamuzi huo ni kulazimishwa kuoa mwanamke asiye chaguo lake.  Soma zaidi>>

________________________________________________________________________________________

Daktari Feki anaswa Muhimbili.   Sekta ya afya nchini Tanzania bado inakabiliwa na tatizo la madaktari feki ambapo jana Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Upasuaji wa Mishipa ya Fahamu, MOI ilimkamata daktari feki aliyefahamika kwa jina la Dismas John Macha mwenye umri wa miaka 35.  Soma zaidi>>

________________________________________________________________________________________

Wameuawa na wananchi wenye hasira Kali kwa Tuhuma za ujambazi.  Watu wawili kati ya wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi wameuawa na wananchi wenye hasira baada ya jaribio lao la kutaka kupora fedha zaidi ya shilingi milioni 100 katika kiwanda cha kutengeneza chokaa cha Nelkanth kilichopo eneo la Amboni jijini Tanga kushindikana. Soma zaidi>>

________________________________________________________________________________________


Mganga wa Kienyeji Abaka Kitoto cha Mteja wake.
Mtu mmoja anayesadikiwa kuwa ni mganga wa kienyeji, anadaiwa kumbaka na kumwingilia kinyume na maumbile msichana mwenye umri wa miaka 19 aliyemsindikiza dada yake kwa mganga huyo kupata tiba. Soma zaidi>>

______________________________________________________________________________________



 
Top