Awaua mama mkwe wake na mtoto kwa kuwachoma kisu. MKAZI
wa kitongoji cha Ng’anandi kijiji cha Mpinga Kata ya Kigwe wilayani Bahi,
Jumanne Ichirile (23) ameua mama mkwe wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka
miwili kwa kuwachoma visuSoma zaidi hapa>>