MATUKIOYAKUSISIMUA
MAUAJI
Amnyonga mtoto wake siku tatu baada ya kujifungua
POLISI mkoani Kagera linamshikilia binti mmoja aliyefahamika kwa jina la Latifa Vedasto (18) mkazi wa mtaa wa Ntungamano kata ya Buhembe Manispaa ya Bukoba kwa tuhuma za kumuua mtoto wake wa kumzaa kwa kumnyonga. Tukio hilo ambalo limewashtua wakaz…