Mwanamke mmoja ambayE jina lake ni
Nosma Dube mwenye umri wa miaka 28 amemchoma mumewe sehemu za siri kwa maji ya
moto baada ya kuhisi akiwa anamsaliti na mwanamke mwingine
Mwanaume huyu ambaye jina lake ni
Fezile Dubes (35) ambaye alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya uvimbe sehemu zake
za siri na walipomfuata daktari aliwaambia kwamba mwanaume huyo alikuwa
akisumbuliwa na ugonjwa hata wa mkanda wa jeshi a,bapo daktari alisisitiza
mwanaume huyo kurudi baada ya miezi mitatu ili kuja kufanya vipimo vya ugonjwa
wa Ukimwi baada ya miezi mitatu.
Baada ya kurudi nyumba mwanaume
huyo alikiri kuwa na wasichana ambao alikuwa akilala nao nje ya ndoa yake, na
mkewe baada ya kuambiwa hivyo alianza kumlaumu na kumuliza kwaninI hakutumia
kinga.
Licha ya mwanaume kuwa na
michepuko nje ya ndoa yake lakini ilikuwa tofauti kwa mkewe ambaye alikuwa
muaminifu kwa mumewe ndipo alipokasirika na kumchoma na maji ya moto kwa mujibu
wake anasema mumewe anabahati sana kutokana na kwamba hakumwambukiza laiti kama
angelikuwa kamuambukiza basi angefanya kitendo cha kikatili zaidi ya kumchoma
na maji ya moto mumewe.