AJALI
MATUKIOYAKUSISIMUA
SIMULIZITAMU
Miili ya waliokufa ajalini Muheza yaanza kutambuliwa
Muheza. Miili ya abiria waliokufa katika ajali iliyotokea juzi saa 2.45 usiku baada ya basi aina ya Coaster walilokuwa wamepanda kuligonga lori wameanza kutambuliwa kufuatia ndugu zao kujitokeza katika hospitali ya teule wilayani hapa. Basi aina y…