Wanaume watatu ambao aliwaua, alifanya hivyo alipokodiwa kama mamluki.


Das Gracas alisema: " Ningesubiri kupata fursa tu kisha ningeingia ndani ya nyumba na kutekeleza mauaji,'' akiongeza kwamba angewachunguza waathiriwa wake kwa muda kabla ya kuwaua.

Wataalamu wanasema Das Gracas anaonekana kuwa mgonjwa wa kiakili ambaye alipenda sana kuonekana kwneye vyombo vya habari, na kuonya kuwa polisi wawe waangalifu sana kuhusu chochote anachosema.
Crdt BBC
        <<Go Back
   
 
Top