Akizungumza mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo ambaye hakutaja jina lake,ameeleza kuwa walipata taarifa za tukio hilo kutoka kwa kijana mmoja aliekuwa akichunga ng'ombe katika pori hilo ambaye jina lake halikuweza fahamika mara moja,hali iliyowapekea kwenda moja kwa moja eneo la tukio kushuhudia na kuona kama watamtambua mtu huyo,lakini kila alefika pale hakuweza kumtambua huku wengine wakisema huenda hutu huyo alikuwa ni mgeni kijijini hapo.


Ripota wetu alipo Jijini Tanga anaendele na juhudi za kumtafuta Kamana wa Polisi wa Mkoa huo ili kuona kama anataarifa zozote juu ya tukio hilo.
 Crdt: Ngara Yetu
                                <<Rudi Nyuma

 
Top