Kila sehemu ya Mkeo ina muda wake muafaka wa kuguswa. Usikurupuke Soma hii
Kila sehemu ya Mkeo ina muda wake muafaka wa kuguswa. Usikurupuke Soma hii

Ingawa kuna mtazamo uliojengeka katika jamii kuwa ukishamuoa mwanamke na mkawa mwili mmoja basi una kila haki ya kumshika sehemu yoyote uipendayo hasa wakati unahitaji kufanya nae tendo la ndoa. Lakini utafiti na uzoefu uliokusanywa na wataalam wa m…

SOMA ZAIDI HAPA>>

Morata asisitiza kuondoka, Milan yajitosa
Morata asisitiza kuondoka, Milan yajitosa

Madrid, Hispania. AC Milan imejitosa kuisaka saini ya Alvaro Morata ambaye ndoto yake ya kuhamia Manchester United imeingia kiza baada ya kushindwa kufikia dau wanalotaka Real Madrid. Milan inayomilikiwa na mataji wa China wameonyesha wapo tayari ku…

SOMA ZAIDI HAPA>>

Wenger ampa Sanchez mshahara mnono
Wenger ampa Sanchez mshahara mnono

LONDON, ENGLAND. Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger anaamini wazi Alexis Sanchez anabaki katika klabu hiyo ili kukamilisha mipango yake ya kufanya kweli kwenye Ligi Kuu England msimu ujao. Sanchez siku chache tu zilizopita aliripotiwa akidai anataka k…

SOMA ZAIDI HAPA>>

Mambo 6 ya Kuzingatia mwishoni mwa Wiki
Mambo 6 ya Kuzingatia mwishoni mwa Wiki

Wakati tukielekea kuikamilisha wiki hii, Mtandao wa Wanasaikolojia Uingereza, (UK Psychologicalexperts) umetoa mawazo kadhaa ya kukujenga unapomaliza wiki. * Jiamini *Acha kutumia muda mwingi kufikiri badala ya kutenda *Fanya kazi kwa bidii *Epuka k…

SOMA ZAIDI HAPA>>

Straika Yanga Agoma Kutolewa kwa Mkopo
Straika Yanga Agoma Kutolewa kwa Mkopo

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Juma Mahadhi, amesema kuwa yuko radhi kuachwa na kikosi cha mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara badala ya kupelekwa kwa mkopo katika klabu nyingine  Mahadhi alitua Yanga msimu uliopita akitokea Coastal Union ya jijini Tanga…

SOMA ZAIDI HAPA>>

BREAKING NEWS: Philemon Ndesamburo afariki dunia
BREAKING NEWS: Philemon Ndesamburo afariki dunia

Dodoma. Mbunge wa zamani wa Moshi Mjini (Chadema) Philemon Ndesamburo amefariki dunia ghafla leo, wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Moshi. Katibu wa Chadema, Mkoa wa Kilimanjaro, Basil Lema amethibitisha kifo hicho na kuelez…

SOMA ZAIDI HAPA>>

Watafiti: Uendeshaji boda boda ni hatari kwa uzazi
Watafiti: Uendeshaji boda boda ni hatari kwa uzazi

Vijana wengi Afrika Mashariki wamekuwa wakitumia baiskeli kufanya biashara ya uchukuzi wa abiria, maarufu kama boda boda. Ni kazi inayohitaji mhudumu atumie nguvu nyingi za mwili wake. Sasa, watafiti nchini Kenya wanasema kunaweza kuwa na changamoto…

SOMA ZAIDI HAPA>>

Mwanamume ahukumiwa kwa kugonga 'like' Facebook
Mwanamume ahukumiwa kwa kugonga 'like' Facebook

Mahakama moja nchini Uswizi imempiga faini mwanamume mmoja aliyebofya alama ya kupenda au "like" kwa Kiingereza katika maoni yaliyotolewa kwenye ujumbe ulioandikwa katika Facebook. Ujumbe huo ulikuwa wa kumharibia mtu mwingine sifa. Kesi hiyo ilihus…

SOMA ZAIDI HAPA>>

Waliotumbuliwa wanalipwa Sh480 milioni kwa mwezi
Waliotumbuliwa wanalipwa Sh480 milioni kwa mwezi

Dodoma. Maoni ya upinzani ya wizara mbili, jana yaliibua hoja tofauti; ya kwanza ikidai Serikali inawalipa wakurugenzi 120 waliotumbuliwa Sh480 milioni, na ya pili ikikikishutumu kiti cha Spika kwa kuzuia mjadala wa wabunge kutishiwa maisha. Katika …

SOMA ZAIDI HAPA>>

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja
Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja

Si rahisi kufikiria maisha ya ndoa ya Maria na Consolata kwa jinsi walivyo, lakini pacha hawa walioungana wako wazi kuhusu matamanio yao ya maisha ya ndoa. Katika mazungumzo yao na gazeti hili, Maria na Consolata waliweka bayana mipango yao ya ndoa …

SOMA ZAIDI HAPA>>
 
Page 1 of 12112345...121Next »Last
 
Top