Kwa Ufupi
Mdikiti wa Mtambani jijini Dar, unateketea kwa Moto ambao umeanza majira ya swala ya Magharibi hadi muda huu.
Wananchi pamoja na askari wa zima moto wanaendelea na jitihada za kuuzima Moto huwo ambao tayari umeshateketeza sehemu ya juu ya ghorofa hilo.
Hadi sasa bado chanzo cha moto huwo unaoendelea kuteketeza jengo la msikiti bado hakijafahamika ingawa tetesi zilizopo ni kuwamba umesababishwa na hitilafu ya umeme.