Muheza. Miili ya abiria waliokufa katika ajali iliyotokea juzi saa 2.45 usiku baada ya basi aina ya Coaster walilokuwa wamepanda kuligon...
BREAKING NEWS: Wanafunzi zaidi ya 20 wafariki katika ajali ya basi Karatu
Wanafunzi zaidi ya 20 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya basi iliyotokea wilayani karatu leo asubuhi. Kwa mujibu wa taarifa zili...
Hili hapa Sakata la Bashite Kusulubiwa na Vyeti Feki Kisheria.
Wakili Tundu Lissu na wenzake wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) wamelikomalia vilivyo sakata maarufu la Bashite linalohusiana na t...
Hii hapa Orodha yote ya Watumishi wenye vyeti vya Kughushi
Baada ya Rais Magufuli kusema majina ya watumishi walioghushi vyeti yaanikwe; sasa yamewekwa hadharani. Majina yamegawanyika katika Orodha m...
Magufuli ataja jina la kwanza la mtumishi mwenye cheti feki
Dodoma. Rais John Magufuli amekabidhiwa majina ya watumishi wenye vyeti feki na kutaja jina la kwanza la mtu aliyetajwa kwenye ripoti...
Madaktari Watanzania Waliokidhi Vigezo Kufanya Kazi Kenya, Waitwa Kazini -Majina Bofya Hapa
Orodha ya Madaktari na Wataalamu wa Kada za Afya waliopangiwa vituo vya kazi BOFYA HAPA
Rais Magufuli Awatimua Kazi Watumishi 9,932 Wenye Vyeti Feki
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo Aprili 28, 2017 amepokea rasmi taarifa ya Uhakiki wa Watumishi wa Um...
Waziri Kairuki: Hawa Ndiyo Watumishi Waliohakikiwa Vyeti Vyao
DODOMA: Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Utumishi na Utawala Bora , Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki leo Aprili 28, 2017 amekabidhi kwa Rais D...
Hii ndiyo kauli ya Wema Sepetu Baada ya Nape Nnauye kutenguliwa Uwaziri
MSANII wa filamu nchini Wema Sepetu, ‘Madam’, ambaye hivi karibuni alihamia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameweka ujumbe ...
Nape naye Afunguka Baada ya kutenguliwa Uwaziri
Nape Nnauye ambaye ni Mbunge wa jimbo la Mchinga amesema hayo kupitia mtandao wake wa twitter "Ndugu zangu naomba tutulie! leo m...
Mwanamke Aishi na Mwanaume aliyekufa kwa miaka sita
Mwanamke mmoja amechanganyikiwa baada ya kugundua kuwa amekuwa akiishi na 'mume aliyekufa' kwa miaka sita! Mwanamke huyo anaye...
Mbunge na Dereva wake watupwa Jela Miezi sita
Mbunge wa Kirombero Peter Lijualikali Morogoro. Mbunge wa Jimbo la Kilombero, Peter Lijualikali na Dereva wake, Jo...
Wanne mbaroni kwa kuua, kumtoa utumbo
Babati. Watu wanne wanashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya Mkazi wa Kijiji cha Lalaji wilayani Hanang’ Mkoa wa Manya...
Wadaiwa wajinyonga kutokana na msongo wa mawazo
Tabora. Wanawake wawili wamefariki dunia kwa kujinyonga katika matukio mawili yaliyotokea mikoa ya Geita na Tabora...
Miili ya wanafunzi iliyozama maji ziwa Chala mkoani Kilimanjaro yaopolewa.
Timu ya waokozi kutoka mkoa wa Tanga kwa kushirikiana na wananchi wamefanikiwa kuopoa miili ya wanafunzi wawili wa shule ya sekonda...
Watu kadha wafa kwenye ajali ya mashua Tanzania
Watu kadha wanahofiwa kuaga dunia baada ya mashua iliyokuwa safarini kutoka mji wa bandari wa Tanga ikielekea kisiwa cha Pemba kuzama J...
Mwanamume azikwa na pesa, Kipikimemsibu Bofya Hapa>>
Mwanamume mmoja nchini Uganda amezikwa pamoja na dola 5,700 pesa taslim, ambazo alitaka kumlimpa Mungu ili ampe msamaha kwa dhambi zake ...
Wakutwa na mil. 8/- bandia kwenye gari
POLISI wilayani Igunga, mkoani Tabora limewakamata watu watatu wakiwa na noti bandia za Sh 10,000 zipatazo mia nane sawa na Sh milio...
Ajikuta Kizimbani kwa kumkashifu Rais Magufuli
MTUNZA bustani Maganga Masele (25) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na ma...
Serikali yashtukia ubia na shule binafsi.
WAMILIKI wa shule binafsi sasa wameomba kuingia ubia na Serikali ili wapewe ruzuku kuwezesha shule zao kudahili wanafunzi wa kidato ch...